play youtube video
Inanimaliza
Harmonize

HARMONIZE


Inanimaliza Lyrics (feat. Mr. Blue)

First time when I saw you
Nilitamani nikueleze
How I feel
That was dream come true
Alau macho nikukonyeze
Maybe you can feel asuu
Moyo ungekuaga kitabu
Ningefunia uone yaliyomo ndani
Yani mwenzako napata tabu
Sina furaha ata tone
Nioneege imani oh my love (Ooohoo)
Macho yanaona kama umejibu yes
Moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes
Moyo unaona kama umesema no oooh No no no
Kusema kweli mi inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Baylon easy
Yeah ah
Chibonge nimekua kibaombao
Ghafla chui nimekua kinyau nyau
Mpaka sijui nayosema nimesahau
Vita ya penzi imekua kama maumau
Nikiona sura nakonda
Nikiona chura nasindwa kubonga
Nakua mbulura masikini omba omba
Kutwa nazurura kutuliza kidonda
Maumivu kama yangu anayo Konde Boy
Namtuliza mwanangu ahh usikonde boy
Macho yanaona yes
Akili inasema no nooo atakukazia
Macho yanaona kama umejibu yes
Moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes
Moyo unaona kama umeseme no no nonono
Yeah kusema kweli mi inaniumiza
Inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza

Watch Harmonize Inanimaliza feat Mr Blue video
Hottest Lyrics with Videos
c95ab5664256eaad4bbd7cfd1fd40000

check amazon for Inanimaliza mp3 download
these lyrics are submitted by itunes3
Record Label(s): 2020 Konde Music WorldWide
Official lyrics by

Rate Inanimaliza by Harmonize (current rating: N/A)
12345678910
Meaning to "Inanimaliza" song lyrics
captcha
Characters count : / 50
Latest Posts